
Jaji Mkuu
Mahkama ya Zanzibar
Mahakama ni chombo cha kisheria kinachohakikisha utekelezaji wa sheria kwa kuzingatia Katiba. Ni taasisi muhimu ya kutatua migogoro, ambapo inatekeleza haki kwa kuzingatia ukweli wa kila kesi inayoletwa mbele yake. Zanzibar, kwa upande wake, inatumia mfumo wa sheria wa pande mbili, ambao unajumuisha Mahakama ya Kadhi inayosimamia masuala ya kisheria ya Kiislamu kama vile ndoa, talaka, na mirathi, pamoja na Mahakama ya Kiraia inayoshughulikia masuala yasiyohusiana na dini ya Kiislamu, ikiwemo masuala ya jinai na haki za kiraia.
Hii ni njia ya kuhakikisha kuwa sheria zinazingatia imani, tamaduni, na desturi za watu wakati zinatoa haki kwa wote, bila kujali tofauti za dini, itikadi, au hali ya kijamii.
Habari Mbali Mbali

Ziara, Mahkama ya Tanzania
Ujumbe wa Mahkama ya Zanzibar kwenye ziara ya kubadilishana uzoefu na Mahkama ya Tanzania
Feb 17, 2025

Ziara ya Jaji Mkuu Uganda
Jaji mkuu wa Zanzibar Mh. Khamis Ramadhan Abdallah amefanya ziara ya kuitembelea mahkma ya Uganda
Feb 17, 2025
Ufunguzi wa Mkutano wa Ziara
Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Mhe. Rabia Hussein akizungumza neno la Ufunguzi Tanzania, Dodoma
Feb 17, 2025

Ziara ya Jaji Mkuu Uganda
Jaji mkuu wa Zanzibar Mh. Khamis Ramadhan Abdallah amefanya ziara ya kuitembelea mahkma ya Uganda
Feb 17, 2025




